Mt. Hieronimo Emiliano Kijani Zaburi: Juma 4 SOMO 1: 1 Fal. 3: 4-13Mfalme Sulemani alienda Gibeoni, ili atoe dhabihu huko; kwa kuwa ndipo mahali pa juu palipo pakuu. Sulemani akatoa
FEBRUARI 5, 2020. JUMATANO: JUMA LA 4 LA MWAKA
Mt. Agata, Bikira na Shahidi,Kumbukumbu,Kijani,Zaburi: Juma 4. SOMO 1: 2 Sam. 24: 2, 9-17Mfalme Daudi alimwambia Yoabu, jemadari wa jeshi la askari, waliokuwa pamoja naye, “Zunguka sasa katikati ya kabila
FEBRUARI 4, 2020 JUMANNE: JUMA LA 4 LA MWAKA
Mt. Gilberti, PadreKijaniZaburi: Juma 4 SOMO 1: 2 Sam. 18: 9-10. 14b, 24-25a. 30 – 19: 3Kwa bahati Absalomu alikutana na watumishi wa Daudi. Naye Absalomu alikuwa amepanda nyumbu wake,
FEBRUARI 1, 2020. JUMAMOSI: JUMA LA 3 LA MWAKA
Mt. Birgida, Mtawa Kijani Zaburi: Juma 3 SOMO 1: 2 Sam. 12: 1-7, 10-17Bwana alimtuma Nathani aende kwa Daudi. Naye akamwendea, akamwambia, “Palikuwa na watu wawili katika mji mmoja; mmoja
JANUARI 31, 2020. IJUMAA: JUMA LA 3 LA MWAKA
Mt. Yohane Bosko, PadreKumbukumbu,KijaniZaburi: Juma 3 SOMO I: 2 Sam. 11: 1-10, 13-17Ikawa, mwanzo wa mwaka mpya, wakati watokapo wafalme kwenda vitani, Daudi akampeleka Yoabu, na watumishi wake pamoja naye,
JANUARI 30, 2020 ALHAMISI: JUMA LA 3 LA MWAKA
Mt. Yasinta, Mtawa Kijani Zaburi: Juma 3 SOMO 1: 2 Sam. 7: 18-19. 24-29 Daudi, mfalme, aliingia, akaketi mbele za Bwana, akasema, Mimi ni nani, Bwana Mungu, na nyumba yangu
2020 JANUARI 29 JUMATANO: JUMA LA 3 LA MWAKA
Mt. Gilidas, Abati Kijani Zaburi: Juma 3 SOMO 1: 2 Sam. 7: 4-17 Neno la Bwana lilimfikia Nathani kusema, Enenda, ukamwambie mtumishi wangu, Daudi, Bwana asema hivi, Je! Wewe utanijengea
2020 JANUARI 1 JUMATANO: OKTAVA YA KUZALIWA BWANA
MARIA MTAKATIFU MAMA WA MUNGU Sherehe Nyeupe Zaburi: Tazama sala ya siku SOMO I: Hes. 6:22-27Bwana alinena na Musa, na kumwambia, “Nena na Haruni na wanawe, uwaambie, Hivi ndivyo mtakavyowabarikia