Life Matters
Showing all 9 results
-
BOOKS, Life Matters, Meditation, Prayer Books
Bread for the Journey; Reflections for Every Day of the Year
BOOKS, Life Matters, Meditation, Prayer BooksBread for the Journey; Reflections for Every Day of the Year
Kitabu hiki kinamjumuisho wa tafakari na sala mbalimbali kwa kila siku katika mwaka juu ya mambo muhimu ya kimaisha. Ni kwa ajili ya kutuweka karibu zaidi na Mungu na kutushibisha kiimani katika safari yetu ya kuutafuta Ufalme wa Mbinguni (Bread for the Journey).
Author: Henri J.M. Nouwen,
Publisher: St. Pauls.
SKU: n/a -
BOOKS, Life Matters
Family Covenant with God
Familia bora ni ile iliyojishikiza katika misingi ya imani na hofu ya Mungu. Na familia ya aina hii ndio msingi wa dunia yenye amani. Mwandishi anathibitisha hayo katika kitabu hiki.
Author: Regis Castro, ed.
Publisher: Claretian Publications
Pages: 142
SKU: n/a -
BOOKS, Life Matters
God’s Advice for You
Kitabu cha kwanza katika mfululizo wa vitabu vya God’s Advice for You by Regis Castro, ed. Mwandishi anachota hekima nyingi kutoka kitabu cha Mithali na kuzihusianisha na maisha yetu ya kila siku.
Author: Regis Castro, ed.
Publisher: Claretian Publications
Pages: 142
SKU: n/a -
BOOKS, Life Matters
God’s Advice for You II
Kitabu cha Pili katika mfululizo wa vitabu vya “God’s Advice for You” by Regis Castro. Ndani yake kumejaa busara na mafunzo mbalimbali juu ya maisha yenye kumpendeza Mungu na mwanadamu. Mwandishi amechimbua busara hizi kutoka kitabu cha Mhubiri
Author: Regis Castro, ed
Publisher: Claretian Publications
Pages: 228
SKU: n/a -
-
BOOKS, Life Matters
Majuto ya Pesa Haramu (Pocket Size)
Hadithi ya kisa cha kweli na cha kusisimua juu ya maisha ya mwanamke mmoja alieshawishiwa na kuingia katika biashara haramu na hatari ya madawa ya kulevya, iliyyompelekea kuishia gerezani.
Author: Saga McOdongo
Publisher: Paulines Publications Africa
SKU: n/a -
BOOKS, Life Matters, Meditation
My Yoke is Easy, My Burden is Light
“Nira yangu ni laini, na mzigo wangu ni mwepesi”.
Kitabu hiki kinadadafua kwa undani juu ya umuhimu wa kukubali kuumia na kunyanyaswa kwa ajili ya Kristu kama yeye alivyofanya kwa ajili yetu, kwa kua Yesu Kristu aliahidi kutupigania.
Tafakari pia ya njia ya msalaba ipo katika kitabu hiki kizuri.
Author: Paul Mathulla
Publisher: Claretian Publications
Pages: 64 pg
SKU: n/a -
BOOKS, Life Matters
Radical Forgiveness
“Samehe saba mara sabini”
Msamaha hautakiwi kuchagua, wala kubagua. Kila mtu anahitaji msamaha, na kila mtu anahitaji kusamehe. Kitabu hiki kinaelezea kwa undani juu ya msamaha wa kweli wenye kuleta amani ya moyo.
Author: Antoinette Bosco
Publisher: St. Pauls Publications.
SKU: n/a