Product Carousel Tabs
Bread for the Journey; Reflections for Every Day of the Year

Bread for the Journey; Reflections for Every Day of the Year
Kitabu hiki kinamjumuisho wa tafakari na sala mbalimbali kwa kila siku katika mwaka juu ya mambo muhimu ya kimaisha. Ni kwa ajili ya kutuweka karibu zaidi na Mungu na kutushibisha kiimani katika safari yetu ya kuutafuta Ufalme wa Mbinguni (Bread for the Journey).
Author: Henri J.M. Nouwen,
Publisher: St. Pauls.
Bikira Maria Mtakatifu na Mtoto Yesu (statue)
Sanamu kubwa ya Bikira Maria Mtakatifu akiwa amembeba Mtoto Yesu. Hufaa sana kuwekwa kwenye grotto la Bikira Maria, Kanisani, na mahala popote panapohitaji kuonekana zaidi.
Monstrance
Monstransi kubwa iliyonakshiwa kwa rangi ya dhahabu. Hutumika katika ibada zenye madhimisho ya Sakramenti ya Ekaristi Takatifu (Eucharist Adoration) kwa ajili ya kuwekea mwili wa Bwana wetu Yesu Kristu kwa kuonekana.
A Beginner’s Guide to the New Testament
Kitabu hiki hutoa utangulizi na mwangaza kwa mtu yeyote anaependa kujifunza kuhusu biblia, na hasa hasa Agano Jipya.
Tafakari ya vifungu na historia mbalimbali za biblia zinapatikana katika kitabu hiki kizuri.
Author: William Barclay
Publisher: Theological Publications of India
Products Carousel

Television Entertainment
Music
Trending Products
Bestsellers
Top Categories this Month
Recently Viewed
Bread for the Journey; Reflections for Every Day of the Year

Bread for the Journey; Reflections for Every Day of the Year
Kitabu hiki kinamjumuisho wa tafakari na sala mbalimbali kwa kila siku katika mwaka juu ya mambo muhimu ya kimaisha. Ni kwa ajili ya kutuweka karibu zaidi na Mungu na kutushibisha kiimani katika safari yetu ya kuutafuta Ufalme wa Mbinguni (Bread for the Journey).
Author: Henri J.M. Nouwen,
Publisher: St. Pauls.
Bikira Maria Mtakatifu na Mtoto Yesu (statue)
Sanamu kubwa ya Bikira Maria Mtakatifu akiwa amembeba Mtoto Yesu. Hufaa sana kuwekwa kwenye grotto la Bikira Maria, Kanisani, na mahala popote panapohitaji kuonekana zaidi.
Monstrance
Monstransi kubwa iliyonakshiwa kwa rangi ya dhahabu. Hutumika katika ibada zenye madhimisho ya Sakramenti ya Ekaristi Takatifu (Eucharist Adoration) kwa ajili ya kuwekea mwili wa Bwana wetu Yesu Kristu kwa kuonekana.
A Beginner’s Guide to the New Testament
Kitabu hiki hutoa utangulizi na mwangaza kwa mtu yeyote anaependa kujifunza kuhusu biblia, na hasa hasa Agano Jipya.
Tafakari ya vifungu na historia mbalimbali za biblia zinapatikana katika kitabu hiki kizuri.
Author: William Barclay
Publisher: Theological Publications of India
Experiencing God’s Presence; 365 daily encounter to bring you closer to Him
Kitabu hiki kitakupa tafakari ya kila siku kwa kipindi chote cha mwaka mzima juu ya mambo mbalimbali yatakayobadilisha kabisa maisha yako na kukuweka karibu na Mungu zaidi ya ilivyowahi kua hapo kabla.
Author: Chris Tiegreen
Publisher: St. Pauls Publications
Let Us Stand Up For Prayer; Sacred Tests That Shape Perspectives

Let Us Stand Up For Prayer; Sacred Tests That Shape Perspectives
Mwandishi amekusanya sala na ibada mbalimbali kutoka katika mapokeo ya dini tofauti tofauti ambazo lengo lake ni moja tu; “Kumtukuza Mungu kama familia moja”
Author: Vincent Shekhar, SJ
Publisher: Claretian Publications
Pages: 264
God’s Advice for You II
Kitabu cha Pili katika mfululizo wa vitabu vya “God’s Advice for You” by Regis Castro. Ndani yake kumejaa busara na mafunzo mbalimbali juu ya maisha yenye kumpendeza Mungu na mwanadamu. Mwandishi amechimbua busara hizi kutoka kitabu cha Mhubiri
Author: Regis Castro, ed
Publisher: Claretian Publications
Pages: 228
Family Covenant with God
Familia bora ni ile iliyojishikiza katika misingi ya imani na hofu ya Mungu. Na familia ya aina hii ndio msingi wa dunia yenye amani. Mwandishi anathibitisha hayo katika kitabu hiki.
Author: Regis Castro, ed.
Publisher: Claretian Publications
Pages: 142
God’s Advice for You
Kitabu cha kwanza katika mfululizo wa vitabu vya God’s Advice for You by Regis Castro, ed. Mwandishi anachota hekima nyingi kutoka kitabu cha Mithali na kuzihusianisha na maisha yetu ya kila siku.
Author: Regis Castro, ed.
Publisher: Claretian Publications
Pages: 142
Come to Me in the Blessed Sacrament
Mwandishi anatualika katika Sakramenti Takatifu sana ya Ekaristi, anaelezea umuhimu, faida na ulazima wa sisi kuiabudu sakramenti kubwa hii.
Kumuabudu Bwana wetu Yesu Kristu mwenyewe alie katika maumbo ya mkate na divai humimina neema na msamaha kwa wote waaminio na kushiriki kikamilifu.
Author: Fr. Vincent Martin Lucia,
Publisher: St. Pauls